Citizen News

Expand Ad
Wednesday, 19 September 2012 18:14

Miili Kufukuliwa Tana River Featured

Posted By 
Rate this item

Miili Kufukuliwa Tana River

Kufukuliwa kwa miili ya watu walioaminika kuzikwa kwenye kaburi la pamoja katika eneo la Ozi kaunti ya Tana river sasa kunatarajiwa kufanyika hapo kesho, mbele ya mpasuaji maiti mkuu wa serikali. Inspekta Mkuu wa idara ya upepelezi David Cheruiyot alifanikiwa kupata agizo la mahakama kufukua miili hiyo kwa uchunguzi kamili kubaini kilichosababisha vifo vya watu hao pamoja na maiti hizo kutambuliwa na familia na watu wa ukoo.

Last Modified Wednesday, 19 September 2012 18:25

You are here: Home Nipashe Kwenye Citizen Nipashe Habari