Citizen News

Expand Ad
Thursday, 13 September 2012 20:28

Katibu Amtetea Waziri Haji

Posted By 
Rate this item

Jopo maalum la kuchunguza kiini  cha mapigano huko Tana River litaanza kazi mwezi ujao. Haya yanaarifiwa wakati ambapo masuali yemeibuka kuhusiana na kusalia kwa Waziri Yusuf Haji katika Wizara ya Usalama licha ya kutajwa kama mmoja wa wahusika wakuu katika machafuko hayo huko Tana River. Katibu katika Wizara ya Usalama Mutea Iringo anasema kuwa madai kuwa Haji ni mhusika hayajadhibitishwa.

Last Modified Thursday, 13 September 2012 21:00

You are here: Home Nipashe Kwenye Citizen Nipashe Habari