Rais Mwai Kibaki amewahimiza vijana kujitokeza na kuwania viti mbalimbali katika uchaguzi mkuu ujao na kuwataka vijana kujiandikisha kama wapiga kura ili kuwachagua viongozi watakaowakilisha matakwa na mahitaji ya vijana. Hayo yanajiri huku viongozi mbalimbali wakiendelea kujipigia debe kisiasa. Mwanahabari wetu Chris Thairu anatueleza zaidi.
Read 568 Times|
Published in


















