Citizen News

Headlines

Vetting of the 26 nominated Principal Secretaries by the parliamentary committee on appointments to start on Wednesday
Expand Ad
Saturday, 28 July 2012 17:59

Harusi Ya Fidel Odinga

 Mwana wa kiume wa  Waziri Mkuu Raila Odinga Fidel Castro Odinga hii leo kwa mara ya pili  amefunga pingu za maisha  na aliyekuwa mchumba wake kutoka Eritrea  Lwam Getachew  Bekele katika kanisa  la Othordox hapa jijini Nairobi. Sherehe hiyo fupi ya harusi ilihudhuriwa na familia za familia hizo mbili na wageni wachache waalikwa akiwemo balozi wa Eritrea humu nchini Beyene Russom.

You are here: Home News More in News Local